Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 13:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Nikawateua watu wafuatao kuwa watunzaji wa ghala: Kuhani Shelemia, mwandishi Sadoki na Pedaia Mlawi. Hanani, mwana wa Zakuri, mwana wa Matania akawa msaidizi wao. Walikuwa waaminifu na kazi yao ilikuwa kuwagawia ndugu zao mahitaji yao.

Kusoma sura kamili Nehemia 13

Mtazamo Nehemia 13:13 katika mazingira