Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 13:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati mambo haya yalipokuwa yanatendeka mimi sikuwako Yerusalemu; kwani katika mwaka wa thelathini na mbili wa utawala wa mfalme Artashasta wa Babuloni, nilikuwa nimeomba likizo; nami nikaenda kutoa ripoti kwake.

Kusoma sura kamili Nehemia 13

Mtazamo Nehemia 13:6 katika mazingira