Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 2:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Nikatoka nikipitia Lango la Bondeni katika njia ielekeayo kwenye Kisima cha Joka na Lango la Mavi; nikazikagua kuta za mji wa Yerusalemu ambazo zilikuwa zimebomolewa pamoja na malango yake ambayo yalikuwa yameteketezwa kwa moto.

Kusoma sura kamili Nehemia 2

Mtazamo Nehemia 2:13 katika mazingira