Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 3:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Waliowafuata hao katika kazi hiyo ya kujenga upya walikuwa Melatia, Mgibeoni; Yadoni, Mmeronothi pamoja na watu wa mji wa Gibeoni na Mizpa waliokuwa chini ya uongozi wa mtawala wa mkoa wa magharibi ya mto Eufrate.

Kusoma sura kamili Nehemia 3

Mtazamo Nehemia 3:7 katika mazingira