Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 4:2 Biblia Habari Njema (BHN)

mbele ya rafiki zake na majeshi ya Wasamaria, akisema, “Hawa Wayahudi wanyonge wanafanya nini? Je, kusudi lao ni kuujenga upya mji? Je, watatoa tambiko? Wanaweza kumaliza kazi kwa siku moja tu? Je, wataweza kufanya mawe yaliyorundikana kwenye takataka na kuteketea, yafae kujengea?”

Kusoma sura kamili Nehemia 4

Mtazamo Nehemia 4:2 katika mazingira