Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 5:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Watawala walionitangulia walikuwa mzigo mzito kwa watu wakiwadai chakula na divai, mbali na kuwadai kuwalipa sarafu za uzito wa shekeli arubaini za fedha. Hata watumishi wao waliwadhulumu watu. Bali, mimi sikufanya hivyo, kwani nilimcha Mungu.

Kusoma sura kamili Nehemia 5

Mtazamo Nehemia 5:15 katika mazingira