Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 5:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila siku, ili kuwalisha watu hao, nilichinjiwa dume mmoja na kondoo safi sita na kuku. Kila baada ya siku kumi nilitoa kwa wingi viriba vya divai. Lakini licha ya haya yote, kwa kuwa watu walikuwa na mzigo mzito wa kubeba kila siku, sikutaka posho ya ziada.

Kusoma sura kamili Nehemia 5

Mtazamo Nehemia 5:18 katika mazingira