Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 7:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Mungu akanipa moyo kuwakusanya viongozi na watu ili kujua koo zao. Nikapata kitabu cha koo za watu waliorudi toka uhamishoni mara ya kwanza, na hawa wafuatao ndio waliokuwa wameorodheshwa ndani yake.

Kusoma sura kamili Nehemia 7

Mtazamo Nehemia 7:5 katika mazingira