Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 9:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, ee Mungu wetu,Mungu Mkuu,mwenye nguvu na wa kutisha,wewe unalishika agano lakona una fadhili nyingi.Mateso yaliyotupata, sisi,wafalme wetu, wakuu wetu,makuhani wetu, manabii wetu,babu zetu na watu wako wotetangu wakati wa wafalme wa Ashuru mpaka leo,usiyaone kuwa ni madogo.

Kusoma sura kamili Nehemia 9

Mtazamo Nehemia 9:32 katika mazingira