Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 12:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wa kabila la Efraimu walikusanyika, wakavuka mto Yordani wakafika huko Zafoni. Kisha wakamwambia Yeftha, “Kwa nini hukutuita tuende pamoja nawe kupigana na Waamoni? Sasa tutaichoma nyumba yako nawe mwenyewe ndani yake.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 12

Mtazamo Waamuzi 12:1 katika mazingira