Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 14:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Mke wa Samsoni akamwendea Samsoni, huku machozi yanamtiririka, akamwambia, “Kwa kweli unanichukia; hunipendi hata kidogo. Umewategea kitendawili watu wangu na hukuniambia maana yake.”Samsoni akamjibu, “Mimi sijawaeleza hata wazazi wangu. Sasa nitawezaje kukuambia wewe?”

Kusoma sura kamili Waamuzi 14

Mtazamo Waamuzi 14:16 katika mazingira