Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 18:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku hizo hakukuwa na mfalme katika Israeli. Basi kabila la Dani lilikuwa linatafuta eneo lake lenyewe la kuishi humo, kwani mpaka wakati huo, halikuwa limegawiwa sehemu yake lenyewe miongoni mwa makabila ya Israeli.

Kusoma sura kamili Waamuzi 18

Mtazamo Waamuzi 18:1 katika mazingira