Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 18:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wale watano waliokwenda kuipeleleza nchi ya Laishi wakawaambia ndugu zao, “Je, mnajua kwamba katika nyumba mojawapo ya hizi kuna kizibao, kinyago na sanamu ya kusubu? Basi, fikirini namna ya kufanya.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 18

Mtazamo Waamuzi 18:14 katika mazingira