Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 18:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakazi wa mji huo hawakuwa na mtu wa kuwaokoa kwa sababu walikuwa mbali na mji wa Sidoni, tena hawakuwa na uhusiano na watu wengine. Mji huo ulikuwa kwenye bonde la Beth-rehobu. Watu wa kabila la Dani wakaujenga upya, wakaishi humo.

Kusoma sura kamili Waamuzi 18

Mtazamo Waamuzi 18:28 katika mazingira