Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 18:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, watu hao watano wakaondoka, wakaenda Laishi. Waliwaona watu walioishi huko, na jinsi walivyokaa kwa usalama kama vile watu wa Sidoni. Walikuwa watu watulivu wasio na wasiwasi na hawakupungukiwa mahitaji yoyote nchini. Walikuwa mbali na watu wa Sidoni, na hawakuwa na shughuli yoyote na watu wengine.

Kusoma sura kamili Waamuzi 18

Mtazamo Waamuzi 18:7 katika mazingira