Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 19:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipokuwa huko mzee mmoja akafika kutoka shambani kwake. Mzee huyo alikuwa mwenyeji wa nchi ya milima ya Efraimu na alikuwa akiishi huko Gibea kama mgeni. Wakazi wa mji wa Gibea walikuwa wa kabila la Benyamini.

Kusoma sura kamili Waamuzi 19

Mtazamo Waamuzi 19:16 katika mazingira