Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 19:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Wale wote walioona jambo hilo wakasema, “Jambo kama hili halijawahi kutukia wala kuonekana tangu siku ile Waisraeli walipotoka nchini Misri mpaka leo. Tulifikirie, tushauriane na kuamua.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 19

Mtazamo Waamuzi 19:30 katika mazingira