Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 2:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Malaika wa Mwenyezi-Mungu aliondoka Gilgali, akaenda Bokimu, akawaambia Waisraeli, “Niliwatoa nchini Misri na kuwaleta katika nchi ambayo niliwaahidi kwa kiapo babu zenu. Nilisema kwamba sitalivunja agano langu nanyi kamwe.

Kusoma sura kamili Waamuzi 2

Mtazamo Waamuzi 2:1 katika mazingira