Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 2:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Walimwacha Mwenyezi-Mungu, Mungu wa wazee wao, ambaye aliwatoa katika nchi ya Misri, wakaifuata miungu mingine, miungu iliyoabudiwa na watu walioishi kandokando yao. Waliisujudia miungu hiyo, wakamkasirisha sana Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Waamuzi 2

Mtazamo Waamuzi 2:12 katika mazingira