Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 20:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku hiyo ya pili watu wa kabila la Benyamini walitoka Gibea na kuwashambulia Waisraeli, wakawaangusha chini Waisraeli 18,000.

Kusoma sura kamili Waamuzi 20

Mtazamo Waamuzi 20:25 katika mazingira