Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 21:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Baba zao au kaka zao wakija kutulalamikia tutawaambia, “Sisi tunawaombeni mwahurumie watu wa Benyamini na kuwaachia wawachukue hao wanawake; maana hatukuwapata katika vita vya Yabesh-gileadi. Na kwa vile nyinyi wenyewe hamkutupatia hao binti zenu, hamtahukumiwa.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 21

Mtazamo Waamuzi 21:22 katika mazingira