Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 3:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Waisraeli walipomlilia Mwenyezi-Mungu, yeye aliwapelekea mtu wa kuwakomboa, yaani Ehudi mwana wa Gera, mwenye mkono wa shoto, wa kabila la Benyamini.Waisraeli walimtuma apeleke zawadi zao kwa Egloni mfalme wa Moabu.

Kusoma sura kamili Waamuzi 3

Mtazamo Waamuzi 3:15 katika mazingira