Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 6:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Malaika wa Mwenyezi-Mungu akaenda, akaketi chini ya mwaloni wa Yoashi, Mwabiezeri, huko Ofra. Gideoni mwana wa Yoashi, alikuwa anapura ngano ndani ya shinikizo la kusindikia zabibu ili Wamidiani wasimwone.

Kusoma sura kamili Waamuzi 6

Mtazamo Waamuzi 6:11 katika mazingira