Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 6:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakazi wa mji walipoamka asubuhi na mapema waliona madhabahu ya Baali na sanamu ya Ashera iliyokuwa karibu nayo vimeharibiwa. Yule fahali wa pili alikuwa ameteketezwa juu ya madhabahu iliyokuwa imejengwa mahali hapo.

Kusoma sura kamili Waamuzi 6

Mtazamo Waamuzi 6:28 katika mazingira