Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 7:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakachukua mateka viongozi wawili wa Midiani, yaani Orebu na Zeebu. Wakamuua Orebu katika mwamba wa Orebu, naye Zeebu wakamuua katika shinikizo la Zeebu, wakiwa wanawafuatia Wamidiani. Wakamletea Gideoni vichwa vya Orebu na Zeebu, ngambo ya mto Yordani.

Kusoma sura kamili Waamuzi 7

Mtazamo Waamuzi 7:25 katika mazingira