Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 7:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu akamwambia Gideoni, “Watu hao bado ni wengi mno. Sasa wapeleke mtoni, nami nitawajaribu huko. Mtu yeyote nitakayekuambia, ‘Huyu atakwenda nawe, huyo aende nawe. Lakini mtu yeyote nitakayekuambia hatakwenda nawe, huyo asiende nawe.’”

Kusoma sura kamili Waamuzi 7

Mtazamo Waamuzi 7:4 katika mazingira