Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 8:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo Zeba na Salmuna wakasema, “Tuue wewe mwenyewe, maana hii ni kazi ya mtu mzima.” Gideoni akawaua yeye mwenyewe na kuchukua mapambo yao yaliyokuwa shingoni mwa ngamia wao.

Kusoma sura kamili Waamuzi 8

Mtazamo Waamuzi 8:21 katika mazingira