Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 8:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Mara baada ya kifo cha Gideoni, Waisraeli wakairudia miungu ya Baali na kuiabudu. Wakamfanya Baal-berithi kuwa mungu wao.

Kusoma sura kamili Waamuzi 8

Mtazamo Waamuzi 8:33 katika mazingira