Agano la Kale

Agano Jipya

Waamuzi 9:48 Biblia Habari Njema (BHN)

Abimeleki na watu wake wakaenda mlimani Salmoni, akachukua shoka akakata tawi la mti na kuliweka begani mwake. Halafu akawaambia wale watu aliokuwa nao waharakishe kufanya kama alivyofanya.

Kusoma sura kamili Waamuzi 9

Mtazamo Waamuzi 9:48 katika mazingira