Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 1:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini matumbo na miguu ya mnyama huyo mtu ataviosha kwa maji. Kuhani ataiteketeza sadaka yote juu ya madhabahu. Hiyo ni sadaka ya kuteketezwa kwa moto yenye harufu nzuri ya kumpendeza Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Walawi 1

Mtazamo Walawi 1:9 katika mazingira