Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 10:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Mose akamwambia Aroni na wanawe waliosalia: Eleazari na Ithamari, “Chukueni ile sehemu ya sadaka ya nafaka iliyosalia kutoka sadaka anazotolewa Mwenyezi-Mungu kwa moto; muile karibu na madhabahu bila kutiwa chachu kwa sababu ni takatifu kabisa.

Kusoma sura kamili Walawi 10

Mtazamo Walawi 10:12 katika mazingira