Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 10:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini kidari ambacho hufanywa nacho ishara ya kumtolea Mwenyezi-Mungu na mguu unaotolewa sadaka kama ishara, mnaweza kula mahali popote pasipo najisi. Utakula wewe, na watoto wako wa kiume na wa kike. Vitu hivyo umepewa kama haki yako na ya wazawa wako kutoka sadaka za amani za watu wa Israeli.

Kusoma sura kamili Walawi 10

Mtazamo Walawi 10:14 katika mazingira