Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 11:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Ikiwa mzoga wa viumbe hao unakiangukia kitu chochote, kiwe ni kifaa cha mbao au vazi au ngozi au gunia au chombo chochote kitumiwacho kwa kusudi lolote lile, chombo hicho kitakuwa najisi mpaka jioni. Ili kukifanya kiwe safi ni lazima kukiosha kwa maji.

Kusoma sura kamili Walawi 11

Mtazamo Walawi 11:32 katika mazingira