Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 13:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini kama kuhani akiona kuwa nywele za mahali hapo si nyeupe na hakuna shimo ila pamefifia, basi, kuhani atamtenga mtu huyo kwa muda wa siku saba.

Kusoma sura kamili Walawi 13

Mtazamo Walawi 13:26 katika mazingira