Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 13:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini, kama ile alama haijaenea, ila imefifia, huo ni uvimbe uliotokana na kuungua; basi, kuhani atamtangaza mtu huyo kuwa safi; kwani hilo ni kovu la kuungua.

Kusoma sura kamili Walawi 13

Mtazamo Walawi 13:28 katika mazingira