Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 13:52-54 Biblia Habari Njema (BHN)

52. Kuhani atalichoma moto vazi hilo kwani lina namna ya upele wa ukoma.

53. “Kama kuhani ataona kuwa upele haukuenea katika vazi, basi,

54. ataamuru vazi hilo lifuliwe na kuwekwa kando kwa muda mwingine wa siku saba.

Kusoma sura kamili Walawi 13