Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 14:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha atamchinja huyo mwanakondoo katika mahali patakatifu, wanapochinjia wanyama wa sadaka ya kuondoa dhambi na sadaka ya kuteketezwa. Sadaka hii ya kuondoa hatia, kama ilivyo sadaka ya kuondoa dhambi, ni mali yake kuhani; ni sadaka takatifu kabisa.

Kusoma sura kamili Walawi 14

Mtazamo Walawi 14:13 katika mazingira