Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 14:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuhani atatolea ile sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya nafaka juu ya madhabahu. Hivyo kuhani atamfanyia huyo mtu ibada ya upatanisho, naye atakuwa safi.

Kusoma sura kamili Walawi 14

Mtazamo Walawi 14:20 katika mazingira