Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 14:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuhani atampaka huyo mtu anayetakaswa mafuta katika ncha ya sikio lake la kulia, katika kidole gumba cha mkono wake wa kulia, na kidole gumba cha mguu wake wa kulia. Atampaka mahali pale ambapo alimpaka ile damu ya sadaka ya kuondoa hatia.

Kusoma sura kamili Walawi 14

Mtazamo Walawi 14:28 katika mazingira