Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 14:51 Biblia Habari Njema (BHN)

Atachukua kipande cha mwerezi, tawi la husopo na ile sufu nyekundu pamoja na yule ndege mwingine aliye hai na kuvitumbukiza vyote katika damu ya yule ndege aliyechinjwa. Kisha atainyunyizia nyumba hiyo damu mara saba.

Kusoma sura kamili Walawi 14

Mtazamo Walawi 14:51 katika mazingira