Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 14:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Huyo mtu atayafua mavazi yake, atanyoa nywele zake, na kuoga; naye atakuwa safi. Baada ya hayo atarudi kambini, lakini atakaa nje ya hema lake kwa muda wa siku saba.

Kusoma sura kamili Walawi 14

Mtazamo Walawi 14:8 katika mazingira