Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 15:19 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mwanamke yeyote anapokuwa mwezini, atakuwa najisi kwa muda wa siku saba. Mtu yeyote atakayemgusa mwanamke huyo atakuwa najisi mpaka jioni.

Kusoma sura kamili Walawi 15

Mtazamo Walawi 15:19 katika mazingira