Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 15:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu yeyote atakayekalia kitu chochote alichokalia huyo mtu mwenye kutokwa na usaha, ni lazima ayafue mavazi na kuoga; na atakuwa najisi hadi jioni.

Kusoma sura kamili Walawi 15

Mtazamo Walawi 15:6 katika mazingira