Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 16:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha atatoka na kwenda kwenye madhabahu iliyo mbele ya Mwenyezi-Mungu na kuifanyia ibada ya upatanisho. Atachukua kiasi cha damu ya yule fahali na ya yule mbuzi na kuzipaka pembe za madhabahu pande zote.

Kusoma sura kamili Walawi 16

Mtazamo Walawi 16:18 katika mazingira