Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 16:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Alimwambia, “Mwambie ndugu yako Aroni asiingie mahali patakatifu nyuma ya pazia wakati usiokubaliwa. Asiingie mahali hapo kwani ndipo nitakapotokea katika wingu juu ya kiti cha rehema. Asipotii, atakufa.

Kusoma sura kamili Walawi 16

Mtazamo Walawi 16:2 katika mazingira