Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 16:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Yule fahali na mbuzi waliotolewa sadaka ya kuondoa dhambi ambao damu yao ilipelekwa mahali patakatifu sana ili kufanya ibada ya upatanisho, watapelekwa nje ya kambi na kuteketezwa. Ngozi zao, nyama na mavi yao, vyote vitateketezwa.

Kusoma sura kamili Walawi 16

Mtazamo Walawi 16:27 katika mazingira