Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 16:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtafanya hivyo kwa sababu siku hiyo ndiyo siku ambayo mtafanyiwa ibada ya upatanisho, msafishwe dhambi zenu, nanyi mtakuwa safi mbele ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Walawi 16

Mtazamo Walawi 16:30 katika mazingira