Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 17:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana, uhai wa kila kiumbe umo katika damu. Ndiyo maana nimewaagiza Waisraeli, kamwe wasile damu ya kiumbe chochote kwani uhai wa kiumbe chochote ni damu yake. Yeyote atakayekula damu atatengwa.

Kusoma sura kamili Walawi 17

Mtazamo Walawi 17:14 katika mazingira