Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 17:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Kusudi la sheria hii ni kwamba Waisraeli wanapaswa kuleta wanyama ambao wangewachinjia mashambani ili wawalete kwa Mwenyezi-Mungu kwa kuhani kwenye mlango wa hema la mkutano, naye atawachinja na kumtolea Mwenyezi-Mungu sadaka za amani.

Kusoma sura kamili Walawi 17

Mtazamo Walawi 17:5 katika mazingira