Agano la Kale

Agano Jipya

Walawi 18:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo shikeni kikamilifu yote ninayowaagiza; msifuate mazoea yoyote ya kuchukiza yaliyofanywa na wale walioishi nchini kabla yenu, msije mkajitia unajisi kwayo. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu.”

Kusoma sura kamili Walawi 18

Mtazamo Walawi 18:30 katika mazingira